MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION):

Dr Abdallah J Mbwambo Chumbageni Tanga mjini. Haya ni maradhi ambayo mgonjwa huwa hapati choo kwa wepesi. Haja kubwa inaweza k...

Dr Abdallah J Mbwambo
Chumbageni Tanga mjini.
Haya ni maradhi ambayo mgonjwa huwa hapati choo kwa wepesi. Haja kubwa inaweza kutoka baada ya siku moja au mbili au zaidi na ikitoka huwa ni kigumu na hutoka kwa shida na wakati mwingine huwa kama cha mbuzi. Wagonjwa wengine hupata maumivu wakati wa kwenda haja kubwa. Mtu mwenye afya nzuri hupata haja kubwa kwa kiwango cha chini mara moja kwa siku. Na choo huwa laini na hutoka bila matatizo. SABABU ZA MARADHI HUSIKA: (1) Upungufu wa vitamini mwilini hasa vitamin B . (2) Maradhi ndani ya utumbo mpana. (3) Kula vitu vigumu na vikavu kama vile vyakula vya ngano. (4) Upungufu wa ulaji matunda na mboga. (5) Kutokunywa maji ya kutosha. (6) Upungufu wa fibre kwenye chakula zinazopatikana kwenye maganda ya mahindi. (7) Ukosefu wa kufanya mazoezi ya viungo.nk. # TIBA YAKE # Tunayo dawa linaitwa " SWELA ", ina nguvu na uwezo mkubwa wa kutibu na kuondoa hill tatizo kabisa, 3 tu, Dozi kamili ni siku 6 tu. Dawa ni ya miti shamba asili , haijaongezwa wala kuchanganywa na chochote. Pia haina kemikali ya viwandani hata chembe. Dawa ipo katika mfumo wa unga unga na mizizi. Matumizi: utachanganyia mezani kwenye uji, chain, Maji ya moto, kipimo kijiko kidogo cha chai × 2 kutwa. Gharama ya dawa, dozi kamili ni sh.40,000/- Wateja wa mikoani watatumiwa kwenye mabasi. Wateja wa Zanzibar watatumiwa kwa njia ya boti ya Azam Marine. Pia tunatibu kwa kutumia tiba mbadala ( dawa za miti shamba, matatatizo mbali mbali ya kiafya yanayo wasumbua wanajamii kwa kipindi kirefu bila kupata dawa au tiba sahihi kwa wanaume, wanawake na watoto. Tembelea huu kurasa wetu ili kufahamu yote kwa undani zaidi Vikiwemo, dalili, vyanzo, kinga, na tiba.

COMMENTS

WASILIANA NASI KWA NAMBA ZA SIMU
NO;- 0745-998149 & 0677-619227
Tupo, chumbageni- Tanga mjini.

KARIBU

Name

asari,1,Bawasili,2,Cancer,1,CONSTIPATION,1,embe mbichi,1,kukojoa kitandani,1,maji ukeni,1,MALARIA SUGU,1,mdarasini,1,mimba,1,mlonge,2,Mpera,1,ndoa,1,Nguvu za kiume,6,Pumu,1,punyeto,1,Taalifa,3,tangawizi,1,tezi dume,1,Unene/Kitambi,1,UTI,1,
ltr
item
FARAJAHERBALIST: MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION):
MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION):
https://lh3.googleusercontent.com/-jiTCunmvlQo/W6ZTUHQBc-I/AAAAAAAAAQ4/s640/40099492_269927340288779_7219219397506760704_n.jpg
https://lh3.googleusercontent.com/-jiTCunmvlQo/W6ZTUHQBc-I/AAAAAAAAAQ4/s640/s72-c/40099492_269927340288779_7219219397506760704_n.jpg
FARAJAHERBALIST
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/maradhi-ya-kutopata-choo-constipation.html
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/maradhi-ya-kutopata-choo-constipation.html
true
3780119184853778323
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy