Fahamu kuhusu Bawasili na Tiba zake

Habari? siku ya leo tunakwenda kuangazia macho kwenye Bawasili na tiba zake ni zipi, twende pamoja tukaondoe hili tatizo. ...

Habari?
siku ya leo tunakwenda kuangazia macho kwenye Bawasili na tiba zake ni zipi, twende pamoja tukaondoe hili tatizo.
Je Bawasili ni ugonjwa gan?
Ni ugonjwa unaotokana kwa kuathirika kwa mishipa ya damu kwa ndani na nje sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka na baadae husababisha kutokwa ni kinyama sehemu ya haja kubwa. Ugonjwa huu kwa Lugha ya kitaalamu unaitwa HEMORRHOIDS . Tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto wadogo. Kati ya umri wa miaka 30- 50 wapo kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu, Kuna aina mbili za bawasili. Bawasili ya ndani na Nje
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
.KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE .KUHARISHA KWA MUDA MREFU TATIZO LA KUTOPATA CHOO .MATATIZO YA UMRI .KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU .UZITO KUPITA KIASI .MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
Je utajuaje kama una Bawasili? Zifuatazo ni dalili zaitakazo kujulisha kwamba unasumbuliwa na Bawasili Ngozi kuwasha katika tundu la haja kubwa Kupata maumivu wakati wa kujisaidia Kutokea kwa uvimbe katika eneo la haja kubwa Je hizo dalili zipo kwako? kama zipo kuna dawa ya miti shamba inaitwa faraja ni mkombozi wako, Dozi kamili ya dawa hii ni siku 14 ( kumi na nne tu!). Hivyo unaweza ipata dawa hii kwa kuwasiliana nasi

COMMENTS

WASILIANA NASI KWA NAMBA ZA SIMU
NO;- 0745-998149 & 0677-619227
Tupo, chumbageni- Tanga mjini.

KARIBU

Name

asari,1,Bawasili,2,Cancer,1,CONSTIPATION,1,embe mbichi,1,kukojoa kitandani,1,maji ukeni,1,MALARIA SUGU,1,mdarasini,1,mimba,1,mlonge,2,Mpera,1,ndoa,1,Nguvu za kiume,6,Pumu,1,punyeto,1,Taalifa,3,tangawizi,1,tezi dume,1,Unene/Kitambi,1,UTI,1,
ltr
item
FARAJAHERBALIST: Fahamu kuhusu Bawasili na Tiba zake
Fahamu kuhusu Bawasili na Tiba zake
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFWePSbIeYI11OwilvEwDoqnZ-6XGTFGYGGHOUdAETT7ktkkJfIp03KZtOAa7NdcpbbZVQWoqR7NJB1GksQmBAUrfShxYbZM6dH3VsCERZm7KcM6I6cL3uWCxvS4dFOK2xtFkfDRaAW60/s640/04_OSP_Haemorhoidectomy.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFWePSbIeYI11OwilvEwDoqnZ-6XGTFGYGGHOUdAETT7ktkkJfIp03KZtOAa7NdcpbbZVQWoqR7NJB1GksQmBAUrfShxYbZM6dH3VsCERZm7KcM6I6cL3uWCxvS4dFOK2xtFkfDRaAW60/s72-c/04_OSP_Haemorhoidectomy.jpg
FARAJAHERBALIST
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/fahamu-kuhusu-bawasili-na-tiba-zake.html
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/fahamu-kuhusu-bawasili-na-tiba-zake.html
true
3780119184853778323
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy