FAHAMU BAADHI YA MADHARAYATOKANAYO NA DAWA AU VIDONGE VYAVYA KIZUNGU VYA KUONGEZA NGUVU ZAKIUME KWA MUDA MFUPI( KUSISIMUA )
HomeNguvu za kiume

FAHAMU BAADHI YA MADHARAYATOKANAYO NA DAWA AU VIDONGE VYAVYA KIZUNGU VYA KUONGEZA NGUVU ZAKIUME KWA MUDA MFUPI( KUSISIMUA )

Tupo: Chumbageni- Tanga mjini. Leo napenda nitoe angalizo kwa watu wote wanaotumia au wenye mpango wa kutumia dawa za kuongeza nguv...

Tupo: Chumbageni- Tanga mjini. Leo napenda nitoe angalizo kwa watu wote wanaotumia au wenye mpango wa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume (Viagra,sildenafil citrate ),kwanza. kabisa napenda kuwahabarisha kwamba vifo vingi vinavyotokea kwenye guest house pale mtu anapokuwa na michepuko hutokana na wanaume kutumia dawa hizi ili waonekane wako vizuri kabisa Dawa hizi hufanya kazi kwa kusisimua kwa nguvu sana mfumo wa damu mwilini hivyo kupelekea mtu kupata athari mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu katika system mbalimbali za mwili kama, 1. Mapigo ya moyo kuongezeka au kupiga bira mpangilio hivyo kusababisha shida katika mfumo wa upumuaji na kusukuma damu. 2. Maumivu ya moyo(Angina) hii hutokana na moyo kuchoka kutokana kufanya kazi sana kuliko kawaida 3. Mishipa ya damu kupasuka,hii mara nyingi hutokea kwenye ubongo au kwenye coronary arteries hivyo kupelekea mtu kupata stroke au kifo cha ghafla. 4. Kupata kifafa 5. Maumivu makali sana ya kichwa pamoja na pamoja viungo pamoja na misuli. Upofu na uziwi wa ghafla. 6. Kushindwa kusimamisha kabisa Ushauri wa mwisho kabisa ni kwamba dawa hizi ni kwaajili ya watu wenye shida ya nguvu za kiume waliothibitishwa na daktari hivyo USITUMIE DAWA HIZI KAMA HUJAANDIKIWA NA DAKTARI AU UNAJIJUA KABISA UNAMATATIZO LYA MOYO AU SHINIKIZO LA DAMU utakufa kabla siku zako hazijafika. Tunayo dawa ya uhakika ya miti shamba toka hapa hapa Tanzania, Ambayo haija changanywa wala kuongezewa chochote, Pia haina kemikali za viwandani hata chembe. Dawa inaitwa " MKOMBOZI " Dawa hii ina nguvu na uwezo mkubwa wa kutibu na kuondoa kabisa tatizo la ukosefu / ama upungufu wa nguvu za kiume Ukimaliza dozi na tatizo linakwisha kabisa, Pia inakinga hiyo hali au tatizo lisijirudie tena na kufanya ufurahie ndoa yako daima. Kwamba hii dawa si ya kusisimua uume kwa muda bali inatibu na kuondoa tatizo kabisa. Pia tunayo dawa maalumu ya kutibu na kuondoa tatizo la upungufu ama ukosefu wa nguvu za kiume kwa wenye tatizo la ugonjwa wa kisukari, dawa inaitwa " Mkombozi mix " Gharama ya dawa;- 1;- Mkombozi sh.70,000/- 2 ;- Mkombozi mix, sh.90,000/- Simu; 0677-619227 / 0745-998149, call / sms Dr. Abdallah Juma Mbwambo Tupo: Chumbageni- Tanga.
WASILIANA NASI KWA NAMBA ZA SIMU
NO;- 0745-998149 & 0677-619227
Tupo, chumbageni- Tanga mjini.

KARIBU

Name

asari,1,Bawasili,2,Cancer,1,CONSTIPATION,1,embe mbichi,1,kukojoa kitandani,1,maji ukeni,1,MALARIA SUGU,1,mdarasini,1,mimba,1,mlonge,2,Mpera,1,ndoa,1,Nguvu za kiume,6,Pumu,1,punyeto,1,Taalifa,3,tangawizi,1,tezi dume,1,Unene/Kitambi,1,UTI,1,
ltr
item
FARAJAHERBALIST: FAHAMU BAADHI YA MADHARAYATOKANAYO NA DAWA AU VIDONGE VYAVYA KIZUNGU VYA KUONGEZA NGUVU ZAKIUME KWA MUDA MFUPI( KUSISIMUA )
FAHAMU BAADHI YA MADHARAYATOKANAYO NA DAWA AU VIDONGE VYAVYA KIZUNGU VYA KUONGEZA NGUVU ZAKIUME KWA MUDA MFUPI( KUSISIMUA )
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTYJLsglzW3zAL-WVMCqzdqRvuN_8sR2bN6n5dd5UfaW5pFIMnjlFgPjmgPnpIPOyHf1QehgNf6Kx3f8-UD_LBZruZy1AX21zWrJUcGoWUX43DbQjdYqLxJSekNL2FcyxACMn-mThfqiY/s640/37282256_235077350440445_8463584896193921024_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTYJLsglzW3zAL-WVMCqzdqRvuN_8sR2bN6n5dd5UfaW5pFIMnjlFgPjmgPnpIPOyHf1QehgNf6Kx3f8-UD_LBZruZy1AX21zWrJUcGoWUX43DbQjdYqLxJSekNL2FcyxACMn-mThfqiY/s72-c/37282256_235077350440445_8463584896193921024_n.jpg
FARAJAHERBALIST
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/fahamu-baadhi-ya-madhara-yatokanayo-na.html
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/
https://farajaherbalist.blogspot.com/2018/09/fahamu-baadhi-ya-madhara-yatokanayo-na.html
true
3780119184853778323
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy