Habari mpya kwako Hivi unajua kwamba Asali na Mdalasini ni tiba ya Saratani? kama hujui naomba tega sikio au soma kwa makini habari hii...
Habari mpya kwako Hivi unajua kwamba Asali na Mdalasini ni tiba ya Saratani? kama hujui naomba tega sikio au soma kwa makini habari hii. Utafiti uliofanyika huko nchini japan na Australia umeonesha kuwa asali na mdalasini vinauwezo mkubwa katika tiba ya ugonjwa wa saratani. Watu ambao wamekuwa wakitumia asali na mdalasin huwa wanapata nafuu sana.
MATUMIZI(JINSI YA KUTUMIA) Tumia kijiko kimoja cha mchanganyiko wa asali na mdalasini kutwa mara tatu(3) .
COMMENTS